.

Obama akiwafundisha watoto kwa njia ya kitabu


rihanna akiwa na kitabu chake mkononi.


hata Obama huongeza maarifa kwa kusoma Vitabu


michelle obama akiwafundisha watoto kwa njia ya kitabu


mandela akisoma moja ya vitabu vyake.


lil wayne pia husoma vitabu


hayati Gaddafi pia alipenda sana kusoma vitabu


Rais Jakaya Kikwete ni msoaji mzuri wa vitabu


watoto wazuri wakiongeza maarifa kwa njia ya kujisomea vitabu


vijana wakichagua vitabu vya kusoma


Rihanna ni msomaji mzuri wa vitabu


cris brown akifundisha watoto kwa kutumia kitabu


binti akihamasisha usomaji wa vitabu


Bob Marley alikuwa msomaji mzuri wa vitabu


Beyonce nae husoma vitabu kuongeza maarifa


wanafunzi wakisoma vitabu kuongeza maarifa